MAOMBI YA ZUIO (FOMU MADAI 8)
Maelezo ya Mahakama
Wahusika
Zuio Kwa
Maelezo ya Zuio
Tarehe ya Amri
Sahihi ya Hakimu
Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)

GN. NO. 943 (Contd.) FOMU MADAI - 8
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ....................

Kituo cha .................... Mkoa ....................

Shauri Na .................... /20 ....................

Jina la Mdai ....................

Jina la Mdaiwa ....................

AMRI YA ZUIO

(Kanuni ya 17(2) ya Kanuni za Utaratibu wa Madai)

KWA;

..........................................

Mahakama hii baada ya kusikiliza ombi la .......................................... lililowasilishwa tarehe .......................................... mwezi .......................................... mwaka .......................................... na kuridhika kuwa kuna sababu za kutosha.

Hivyo Mahakama hii inaamuru kwamba:

..........................................

Imetolewa kwa Amri yangu na Muhuri wa Mahakama tarehe ........ mwezi ........ mwaka ........

HAKIMU

Data imehifadhiwa